Subscribe
Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani, Kangi Lugola, ameitaka Serikali kuchukua hatua madhubuti dhidi ya tatizo la machawa linaloendelea kuwasumbua wananchi katika maeneo mbalimbali ya nchi. Akizungumza Bungeni, Lugola amesema machawa wamekuwa chanzo cha uhalifu, uporaji na usumbufu kwa raia, hivyo ni muhimu vyombo vya dola na Serikali kwa ujumla kushughulikia suala hilo kwa haraka na kwa nguvu ya sheria.
Ameeleza kuwa usalama wa raia ni kipaumbele cha Taifa,
Comments (0)
Sign in to comment